Video duration: 567 seconds
Global video hits: 25277
Entertaining Israeli soldiers somewhere in the warzone during Shabat.
Notice one of the Merkava tanks has what appears to be battle damage from a RPG. Dedicated to Moshe Ambao.
Video duration: 102 seconds
Global video hits: 3435
Waziri mkuu Raila Odinga kwa mara nyingine tena amerejelea umuhimu wa kuachiliwa kwa washukiwa wa ghasia za baada ya uchaguzi. Raila ana maoni kuwa amani haitorejea iwapo polisi ambao anashtumu wataendelea kushikilia washukiwa hao bila mashtaka yafaayo. Raila amedokeza kuwa ni kupitia tume ya Waki ambapo maswala kama hayo ya baada ya uchaguzi yanafaa yajadiliwe.
Video duration: 157 seconds
Global video hits: 2033
Ukulima wa majani chai ambao umezongwa na matatizo si haba bado haujaratibiwa kabisa licha ya Rais Mwai Kibaki kutoa onyo kwa wakulima dhidi ya kungoa mmea wa majani chai wakulima wamehimizwa wawe na subira hadi mambo yalainishwe. Lakini baadhi ya wakulima katika maeneo ya Muranga wanatishia kuendelea kungoa majani chai yao iwapo serikali haitoingilia suala hili kwa dharura.
kijiji chetu kinaitwa Mkongobaki!!! Kuna milima mingi na ni baridi sana!!! Nashukuru sana watu ambao wanaishi Mkongobaki - Wanaitwa "Wapangwa" - kwa kutukaribisha kijijini chetu hiki...asanteni sana.
kuna 1000 chupa za maji ya kunywa 1.5L...sasa watu ambao wanaishi vijijini vya Mkongobaki na Ugera wanaweza kufanya maji yawe ni safi na salama na ni rahisi mno kutengeneza...nashuk uru Mungu
Video duration: 121 seconds
Global video hits: 2405
Jumapili ni siku ya kumwabudu mwenyezi mungu kwa wakristo kote duniani lakini kanisa moja mjini Limuru, iligeuzwa na kuwa siku ya vita. Kina mama ambao kwa kawaida husaidia katika shughuli za kanisa walipata jukumu la kuhakikisha kuwepo kwa mawe ya kutosha wakati wa mapigano hayo.